Sun, 7 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
"CV imeshiba, Mwaka huu hatuachi tena kitu. Tunabeba yote " ndicho kinachosemwa na Klabu ya Wekundu wa msimbazi Simba SC hivi sasa.
Baada ya jana Novemba 6, kumtambulisha Kocha mpya Pablo Franco ambae amesaini kandarasi ya miaka miwili na maneno kuwa mengi kuhusu alikopitia kocha huyo.
Leo Klabu ya Simba imeweka hadharani Elimu na uzoefu wa Kocha huyo raia wa Uhispania.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live