Fri, 5 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Simba kimewasili Mtwara leo kwa ajili ya mchezo wa Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) Jumapili dhidi ya Azam FC Uwanja wa Namgwanda Sijaona.
Tazama msafara wa Kikosi cha Simba safarini Mtwara hii leo;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live