Sun, 3 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha timu ya Simba kimewasili leo Jumapili Desemba 3, 2023 jijini Dar es Salaam kikitokea nchini Botswana kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa hatua ya makundi dhidi ya Jwaneng Galaxy ambapo katika mchezo huo ulimalizika kwa suluhu.
Kikosi cha timu ya Simba kimewasili leo Jumapili Desemba 3, 2023 jijini Dar es Salaam kikitokea nchini Botswana kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa hatua ya makundi dhidi ya Jwaneng Galaxy ambapo katika mchezo huo ulimalizika kwa suluhu. Baada ya mchezo wa jana, Simba inatarajiwa kukutana na Wydad Casablanca Desemba 9, 2023 nchini Morocco.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live