Tue, 23 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Simba SC kimeanza safari kwenda Zanzibar kwenye kivumbi cha Kombe la Muungano 2024.
Aprili 24, 2024 Saa 2: 15 Usiku Simba watashuka dimbani New Amaan Complex, kuvaana na KVZ katika mchezo wa Nusu Fainali ya kwanza ya kombe hilo huku Nusu Fainali ya pili ikitarajiwa kupigwa Aprili 25, Azam FC Vs KMKM.
Mchezo wa Fainali ya michuano hiyo utapigwa Aprili 27 Uwanja wa New Amaan Zanzibar.
Una maoni, tuandikie?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live