Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Simba wapo 'siriazi' na suala la Mzize

Mzize Rteee.jpeg Clement Mzize

Mon, 27 May 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Klabu ya Simba imeonyesha nia ya kutaka kumsajili straika wa Yanga, Clement Mzize ambaye amekuwa na msimu bora Jangwani.

Klabu ya Simba imeonyesha nia ya kutaka kumsajili straika wa Yanga, Clement Mzize ambaye amekuwa na msimu bora Jangwani. Simba baada ya kuona upo uhitaji wa straika ili kuimarisha kikosi chao, klabu hiyo moja kwa moja imemlenga Mzize na sasa viongozi wamelivalia njuga suala hilo.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live