Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Simba wanamapaswa kumpa Thank You Chama - Oruma

Simba Wanamapaswa Kumpa Thank You Chama   Oruma.jpeg Simba wanamapaswa kumpa Thank You Chama - Oruma

Mon, 4 Mar 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mchambuzi wa soka Wilson John Oruma amesema umefika wakati wa Simba SC kuachana na kiungo wao mshambuliaji, Clotous Chama kwani hakuna cha ziada atakachowapa.

Oruma amezungumza hayo ikiwa ni siku chache baada ya Chama kuubeba mchezo wao dhidi ya Jwaneng Galaxy na kuibuka na ushindi wa 6-0.

Oruma amesema, Chama amekuwa akicheza ana akili za viongozi kwani hufanya vizuri pindi mkataba wake unapokuwa unaelekea ukingoni.

"Chama ana jambo lake ndio maana anafanya hivi alivyofanya, baada ya muda atarudi kwenye desturi yake kama kawaida. Ni wakati sasa viongozi kuchukua maamuzi magumu ya kuachana naye ili walete mchezaji anayeweza kuwavusha zaidi ya hapa," alisema Oruma.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live