Wed, 19 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Uongozi was Simba umethibitisha kuwa Mshambuliaji Shaban Idd Chilunda amemaliza mkataba wake wa mwaka mmoja na hatakuwa sehemu ya kikosi cha Simba kuelekea msimu mpya wa mashindano 2024/25.
Uongozi was Simba umethibitisha kuwa Mshambuliaji Shaban Idd Chilunda amemaliza mkataba wake wa mwaka mmoja na hatakuwa sehemu ya kikosi cha Simba kuelekea msimu mpya wa mashindano 2024/25. Chilunda anakuwa mchezaji wa tatu kutangazwa na Simba kuwa hatakuwa sehemu ya kikosi kwa msimu ujao, wa kwanza alikuwa John Raphael Bocco na wa pili ni Saidi Ntibazonkiza 'Saido'.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live