Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Simba wamnyatia Straika wa Ihefu

Ismail Mgunda  . Ismail Mgunda

Thu, 13 Jun 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mshambuliaji wa Singida Black Stars, Ismail Mgunda yupo katika mazungumzo na Simba ili kujiunga na kikosi hicho msimu ujao.

Mshambuliaji wa Singida Black Stars, Ismail Mgunda yupo katika mazungumzo na Simba ili kujiunga na kikosi hicho msimu ujao. Mgunda aliyemaliza na mabao sita ya Ligi Kuu, amefuatwa na viongozi wa Simba ili akaichezee, ikielezwa mazungumzo yanaendelea Singida ikiwa tayari kumuachia.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: