Wed, 10 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Undani wa taarifa kumhusu nyota mpya wa Simba SC Ladack Chasambi kutakiwa na Klabu ya nje ya Tanzania, Meneja wa habari wa Simba, Ahmed Ally anasema mchezaji huyo walimgombania, Simba dhidi ya Wazungu.
Ahmed amesema, kitendo hicho cha kugombania na Wazungu ni kitu cha kujivunia.
"Japo sijaiona hiyo habari lakini kama tunagombania na watu wapo Ulaya nq tumewazidi maana yake sisi tumewazidi hela," alisema Ahmed.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live