Thu, 14 Jul 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Simba SC. imesaini mkataba wa udhamini wa miaka mitano na Kampuni ya michezo ya kubashiri ya M-BET ambayo sasa ni Mdhamini Mkuu wa Club hiyo kuanzia July 1 2022.
Taarifa ya Simba SC. imesema taarifa kamili juu ya udhamini huu zitatolewa na pande zote mbili siku ya Jumatatu August 1 2022.
Kabla ya M-BET Timu ya Simba ilikuwa na mkataba wa udhamini na Kampuni ya kubashiri ya Sport Pesa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live