Thu, 1 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msafara wa wachezaji na viongozi wa Simba leo asubuhi ulipanda ndege kuelea mkoani Kigoma.
Timu hiyo, imeeleka Kigoma kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mashujaa FC utakaopigwa keshokutwa Jumamosi saa kumi kamili.
Jana Januari 31, 2024, Simba waliwacharaza Tembo FC 4-0 ukiwa ni mchezo wa Kombe la Shirikisho la Azam.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live