Wed, 6 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Simba SC kimetua kwenye Uwanja wa Ndege Marrakesh Menara, nchini Morocco tayari kwa mchezo wao ???????????????????? ???????? ????????????a???? ????????.
Mapema asubuhi hii, Simba walitua Casablanca, Morocco na safari ikaendelea kuelekea Marrakesh.
Simba watakipiga na Wydad Jumamosi majira ya saa nne usiku.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live