Mon, 27 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya fainali za CAFCL na ile ya CAFCC, Shirikisho la soka Afrika limetoa msimamo wa vilabu 30 bora Afrika, ukusanyaji wa alama ni kwa misimu 5 iliyopita.
Baada ya fainali za CAFCL na ile ya CAFCC, Shirikisho la soka Afrika limetoa msimamo wa vilabu 30 bora Afrika, ukusanyaji wa alama ni kwa misimu 5 iliyopita. Vilabu vya Simba na Yanga kutoka Tanzania vimeendelea kuwepo katika Orodha hiyo huku Simba akimpiku Yanga.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live