Tue, 26 Oct 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwakilishi wa Tanzania kunako michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika, Simba SC itakutana na Timu ya Red Arrows kutoka nchini Zambia.
Katika ratiba ambayo imepangwa na Shirikisho la Soka barani Afrika CAF, leo Oktoba 26 nchini Misri.
Simba itaanzia nyumbani katika Uwanja wa Mkapa, mchezo ambao utapigwa Novemba 28, mwaka huu.
Huku mchezo wa marudiano ukipigwa Disemba 5, ugenini nchini Zambia.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live