Mon, 25 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally, amesema wamepanga kuhakikisha wanaimaliza mechi dhidi ya Al Ahly nyumbani, Benjamini Mkapa Stadium.
Sambamba na hilo amesema, wanao uwezo wa kuujaza uwanja wao peke yao kwa viingilio na si bure.
"Sisi [Simba] peke yetu tunauwezo wa kuujaza uwanja wa Benjamin Mkapa! Hatuhitaji mtu yeyote. Wanalunyasi peke yetu tunao uwezo wa kujaza uwanja wa Benjamin Mkapa tena kwa viingilio, sio bure.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live