Fri, 3 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchambuzi wa soka nchini Farhan Kihamu amesema utaratibu wa mgeni kwenye mechi hapati mapato unapaswa kuangaliwa upya.
Farhan amesema kitendo cha mwenyeji kuchukua mapato yote ndicho kinachomfanya mgeni asihamasishe kabisa watu kuja uwanjani.
“Huu utaratibu wa mgeni hapati chochote ni ngumu sana mfano mechi ya Simba kumpush Yanga afanye hamasa huu ni ukweli ambao haufichiki.
“Hii kanuni wanaweza kuiboresha mfano hii game ya Simba na Yanga waweke hata 50/50 ," alisema
Chanzo: www.tanzaniaweb.live