Thu, 30 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchambuzi wa soka nchini Edo Kumwembe amesema, tabia au hurka ya viongozi wa Simba na kocha wao mpya Benchikha zinafanana sio watu wa uvumilivu.
Amesema Benchikha akiona unamzingua hakawii kukuachia timu kama ilivyo kwa uongozi wa Simba, wanasifikika kwa kutimua walimu.
"Simba na Benchikha wana tabia sawa, ndio maana unaona Bechikha kashahama vilabu vingi, Raja kafundisha mara mbili sijui hivyo wana tabia sawa," alisema Edo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live