Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Simba na Azam wamwshindwa - Oscar Oscar

Djuma Shaban Azam FC.jpeg Simba na Azam wamwshindwa - Oscar Oscar

Sun, 1 Oct 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Hadi sasa wanachokifanya Yanga Sc tangu kuanza kwa msimu huu wa mashindano mbalimbali unaweza ukaona kama ni bahati kwa jicho la kishabiki ila kiuhalisia hapana ni ubora walionao.

Tangu katika ile michuano midogo ya Ngao ya Jamii pale Jijini Tanga ni kwamba Yanga tayari walishaonyesha wana kikosi ambacho kina ushindani kuliko Simba, Azam FC na klabu nyingine.

Angalia katika mechi zao 6 za mashindano mbalimbali wamefunga magoli 13 na kufungwa goli moja pekee, kitu ambacho Azam FC na Simba hawajaweza kukifanya. Hii ndio Yanga

Kama ukikaa alafu ukawa unasema hiki ambacho wanakifanya Yanga ni bahati basi utakuwa unaukosea heshima mpira wa miguu. Kwa sasa Yanga wanatafuta kuweka standard yao katika michuano ya Kimataifa.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live