Fri, 21 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Simba Sc itaweka kambi nchini Egypt kwaajili ya maandalizi ya msimu mpya wa 2024/2025.
Wachezaji wataanza kuripoti wiki ya kwanza ya mwezi ujao (Julai) tayari kwa Pre Season.
Timu itaondoka mwanzoni mwa mwezi Julai na wataondoka kamili na Benchi la ufundi.
Msikilize Ahmed Ally akifafanua hapa chini;
Semaji Ahmed Ally ameweka wazi tarehe rasmi ya kuanza maandalizi ya msimu (Pre Season)
— Simba Sports Club (@SimbaSCTanzania) June 21, 2024
Video kamili Simba App ????#NguvuMoja #WenyeNchi pic.twitter.com/RQCOd43Qc1
Chanzo: www.tanzaniaweb.live