Tue, 4 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa mujibu wa taarifa za ndani zinasema kuwa Klabu ya Simba itaachana na mshambuliaji wake Pa Omar Jobe kwenye dirisha kubwa la usajili linalotarajiwa kufunguliwa mwezi huu huku sababu kubwa ni kutoridhishwa na kiwango chake.
Kwa mujibu wa taarifa za ndani zinasema kuwa Klabu ya Simba itaachana na mshambuliaji wake Pa Omar Jobe kwenye dirisha kubwa la usajili linalotarajiwa kufunguliwa mwezi huu huku sababu kubwa ni kutoridhishwa na kiwango chake. Mshambuliaji Pa Omar Jobe aliyejiunga na timu hiyo wakati wa dirisha dogo la usajili.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live