Mon, 20 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally amesema wanataria kuwafyeka nyota wake kuelekea msimu ujao.
"Tunategemea kuacha wachezaji ili kuboresha kikosi kwa kuanzia tutawaaga baadhi ya wachezaji kwenye mechi za kumalizia msimu huu"
Ahmed Ally, Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live