Sat, 8 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa magolikipa Simba Daniel Cadena anasema Kwa sasa Simba Kwa upande wake anaona wanapaswa kuondosha watu wote ndani ya klabu na kuanza upya
Kocha huyo anasema kuwa Simba Kwa sasa inahitaji "PROFESSIONAL PEOPLE" watu wenye Ueledi , wasipewe nafasi sababu wanajuana na watu au Sababu wanaijua Sana Simba bali wanahitaji watu wenye Ueledi na taaluma
Daniel Cadena ambaye alikuwa kocha wa magolikipa Simba ameamua kuondoka Simba baada ya mkataba wake kuisha mwishoni mwa Msimu huu
Chanzo: www.tanzaniaweb.live