Sun, 8 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Simba wamerejea kileleni baada ya kuwafunga Singida FG 3-1 mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa kwenye uwanja wa CCM Liti mkoani Singida.
Magoli ya Simba SC yaliwekwa kimiani na Saidi Ntibanzokinza na Moses Phiri.
Goli pekee la kufutia machozi la Singida lilufungwa na Deusi Kaseke.
Simba wamekaa kileleni wakiwa na alama 15 wakifuatiwa na Azam FC wenye alama 13 na Yanga wakiwa nafasi ya 3 na alama 12.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live