Sat, 13 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Jinamizi la matokeo mabaya linaendelea kuwaandama Simba SC baada ya leo Aprili 13, 2024 kuambulia sare ya 1-1 dhidi ya Ihefu FC.
Mechi hiyo ya Ligi Kuu imepigwa katika uwanja wa Litti Singida. Singida ndio walikuwa wa kwanza kupata goli katika kipindi cha kwanza.
Goli la kusawazisha liliwekwa kimiani na Chama kwa mkwaju wa penalti kipindi cha pili.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live