Mon, 21 Feb 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Droo ya Hatua ya Robo fainali Kombe la Azam Sports Federation imetoka huku Vigogo wa Soka la Tanzania Simba na Yanga wakiwa na nafasi ya kukutana katika hatua ya nusu fainali iwapo tu watashinda michezo yao ya Robo Fainali.
Yanga watakutana na Geita Gold katika mchezo utakaopigwa Uwanja wa Mkapa Jijini Dar es Salaam, huku Simba wakikutana na Pamba ya Mwanza katika Uwanja huo huo wa Benjamin Mkapa.
Michezo ya Robo fainali itapigwa kati ya Aprili 8-13.
Michezo mingine ya Robo Fainali ni kama inavyoonekana katika jedwali hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live