Mon, 2 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kufuzu kwa Simba na Yanga kumeifanya Tanzania kuandika historia kwa mara ya kwanza kupenyeza timu mbili kwa mpigo kucheza hatua ya Makundi katika Ligi ya Mabingwa Afrika.
Kufuzu kwa Simba na Yanga kumeifanya Tanzania kuandika historia kwa mara ya kwanza kupenyeza timu mbili kwa mpigo kucheza hatua ya Makundi katika Ligi ya Mabingwa Afrika. Mbali na rekodi Yanga na Simba wamejihakikishia Mkwanja wa Dola 700,000 (Sh 1.8 bilioni) baada ya kufuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: