Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Simba SC yashinda Tuzo ya Mashabiki Bora AFL

Mashabiki Simba Kwa Mkapa Mashabiki wa Simba SC

Sun, 12 Nov 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Klabu ya Simba SC imeshinda tuzo ya Mashabiki Bora katika Michuano ya African Football League iliyotamatika leo Novemba 12 nchini Afrika Kusini.

Simba ilicheza mchezo wa ufunguzi hatua ya Robo Fainali dhidi ya Klabu ya Al Ahly kutoka Misri kayika Uwanja wa Benjamin Mkapa Oktoba 20.

Neno moja kwa Mashabiki wa Simba SC tafadhali

Chanzo: www.tanzaniaweb.live