Tue, 19 Oct 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Simba SC, imeitisha Mkutano Mkuu wa Mwaka utakaofanyika Novemba 21, mwaka huu ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Jijini Dar es Salaam.
Mkutano huo unatizamiwa kujadili na kushughulikia masuala mbali mbali ya klabu ya Simba, hivyo umeonekana kuvuta hisia za Wanachama, Wapenzi na Mashabiki wa Soka nchini.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live