Mon, 9 Nov 2020
Chanzo: millardayo.com
Shirikisho la soka Afrika CAF leo limepanga ratiba ya Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo Simba SC imepangwa kucheza dhidi ya Plateau United ya Nigeria.
Simba kama ataitoa Plateu atacheza na mshindi wa game ya Costa do sol ya Msumbiji vs Platnum ya Zimbabwe katika hatua inayofuatia.
Mechi nyingine ni hizi hapa
CS Sfaxien
Chanzo: millardayo.com