Mon, 7 Mar 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bodi ya Ligi Tanzania Bara ‘TPLB’ imetangaza kuwa Mchezo wa simba SC dhidi ya Dodoma Jiji FC utapigwa saa moja usiku na sio saa kumi tena kama ilivyotangazwa hapo Awali.
Taarifa ya ‘TPLB’ imeeleza kuwa tayari Matengenezo ya Jenereta la Uwanja wa Mkapa yamekamilika.
Tazama ha chini taarifa ya Bodi ya Ligi;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live