Sun, 6 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya @simbaqueensctz imeandika historia kwenye soka la wanawake ngazi ya klabu nchini kwa kufanikiwa kuingia Nusu Faifali ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya timu ya Green Buffaloes.
Magoli ya @simbaqueensctz yakifungwa na Asha Djafar dakika ya 64 na Opah Clement 78’
Mchezo wa Nusu Fainali @simbaqueensctz itacheza dhidi ya AS FAR Club kutoka kundi A.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live