Sat, 9 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Simba Queens wameingia hatua ya fainali baada ya kumkanda mtani wao Yanga Princess 5-4 kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya Ngao ya Jamii.
Simba Queens wameingia hatua ya fainali baada ya kumkanda mtani wao Yanga Princess 5-4 kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya Ngao ya Jamii. Simba Queens itacheza fainali ya Ngao ya Jamii na JKT Queens ambao nao wamemkanda Fountain Gate 5-0.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live