Fri, 29 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Simba Queens imeshinda mechi ya pili Ligi Kuu Wanawake ikiichapa Baobab Queens mabao 5-2.
Klabu ya Simba Queens imeshinda mechi ya pili Ligi Kuu Wanawake ikiichapa Baobab Queens mabao 5-2. Mechi ya kwanza Simba Queens ilishinda dhidi ya Ceasiaa Queens mabao 5-0 hivyo kwa ushindi wa leo inamaliza ikiwa kileleni kwa pointi 6 ikitofautiana mabao na Yanga Princess na JKT Queens.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live