Mon, 16 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mabigwa watetezi wa Ligi ya Wanawake nchini, Simba Queens wamemtambulisha rasmi straika wao wa zamani Mwanamisi Omary 'Gaucho'.
Kupitia ukurasa wao rasmi wa Instagram, Simba Queens wameweka picha ya nahodha wao huyo wa zamani ambaye alitimkia nchini Moroco mwaka 2021.
"Welcome back Mwanamisi Omary 'Gaucho'," wameandika kwenye ukurasa huo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live