Timu ya Simba Queens imeanza vibaya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake baada ya kuchapwa bao 1-0 na wenyeji FAR Rabat katika mchezo wa Kundi A usiku wa jana Uwanja wa Prince Moulay Hassan Jijini Rabat nchini Morocco.
Timu ya Simba Queens imeanza vibaya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake baada ya kuchapwa bao 1-0 na wenyeji FAR Rabat katika mchezo wa Kundi A usiku wa jana Uwanja wa Prince Moulay Hassan Jijini Rabat nchini Morocco. Simba Queens watateremka tena dimbani Novemba 2 kumenyana na Determine Girls ya Liberia kabla ya kukamilisha mechi zao za Kundi hilo kwa kumenyana na Green Buffaloes ya Zambia Novemba 5.