Timu ya wanawake kutoka Tanzania Simba Queens, inatarajiwa kushuka dimbani leo dhidi ya Kawempe Muslim FC kutoka nchini Uganda katika Uwanja wa Abebe Bekila, leo Agosti 21, 2024 majira ya saa 5:00 asubuhi, ikiwa ni mchezo wa mashindano ya CECAFA Zonal Qualifiers kwa ajili ya CAF Women’s Champions League.
Timu ya wanawake kutoka Tanzania Simba Queens, inatarajiwa kushuka dimbani leo dhidi ya Kawempe Muslim FC kutoka nchini Uganda katika Uwanja wa Abebe Bekila, leo Agosti 21, 2024 majira ya saa 5:00 asubuhi, ikiwa ni mchezo wa mashindano ya CECAFA Zonal Qualifiers kwa ajili ya CAF Women’s Champions League. Ikumbukwe kuwa mchezo wa kwanza wa klabu ya Simba Queens walipata ushindi wa goli 5-0 dhidi ya FAD Djibouti.