Fri, 14 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mabingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake, Simba Queens leo Juni 14, 2024 wanatarajiwa kukabidhiwa Kombe lao la ubingwa.
Mabingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake, Simba Queens leo Juni 14, 2024 wanatarajiwa kukabidhiwa Kombe lao la ubingwa. Simba Queens watakabidhiwa katika mechi watakayocheza dhidi ya Geita Gold katika dimba la Azam Complex.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live