Sat, 11 Feb 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinzi wa Chelsea, Mbrazil Thiago Silva mwenye umri wa miaka 38 amesaini nyongeza ya mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo mpaka Juni, 2024.
Mlinzi wa Chelsea, Mbrazil Thiago Silva mwenye umri wa miaka 38 amesaini nyongeza ya mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo mpaka Juni, 2024. Silva alijiunga na Chelsea mwaka 2020 akitokea kwa matajiri wa Ufaransa PSG alikocheza kwa mafanikio makubwa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live