Fri, 3 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa Chelsea, Graham Potter amethibitisha Thiago Silva na Mason Mount wataukosa mchezo wa kesho dhidi ya Leeds kutokana na majeraha lakini pia Reece James anaweza kuukosa mchezo huo kutokana na maumivu.
Chelsea inapitia kipindi kigumu kwa sasa na huenda mwalimu wa kikosi hicho Graham Potter akaoneshwa mlango wa kutokea.
Beki Thiago taarifa zinaeleza kuwa majeraha aliyoyapata yatamweka nje ya Uwanja kwa takriban wiki sita.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live