Mon, 9 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mabingwa watetezi wa Ligi kuu Kandanda Tanzania Bara klabu ya Yanga imeingia mkataba na shirikia la bima la NIC na sehemu ya makubaliano ya mkataba huo NIC itaanza kutoa zawadi kwa mchezaji wa Yanga ambaye amefanya vizuri kila mwezi.(POTM)
Mabingwa watetezi wa Ligi kuu Kandanda Tanzania Bara klabu ya Yanga imeingia mkataba na shirikia la bima la NIC na sehemu ya makubaliano ya mkataba huo NIC itaanza kutoa zawadi kwa mchezaji wa Yanga ambaye amefanya vizuri kila mwezi.(POTM)
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: