Wed, 29 Nov 2023
Chanzo: BR Football
Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limepanga kutangaza sheria mpya mchezaji atakayeadhibiwa kwa kosa la Kupinga Uamuzi wa Refalii atatolewa njee ya Uwanja kwa dakika 10 kisha atarudi baadaye.
Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limepanga kutangaza sheria mpya mchezaji atakayeadhibiwa kwa kosa la Kupinga Uamuzi wa Refalii atatolewa njee ya Uwanja kwa dakika 10 kisha atarudi baadaye. FIFA imesema Sheria itaanza kufanyiwa majaribio muda wowote na endapo itaonekana ina manufaa basi itaanza kutekelezwa rasmi.
Chanzo: BR Football