Mon, 6 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Sheffield United imekuwa timu ya kwanza kuruhusu mabao 100 katika mechi 36 ndani ya Ligi Kuu England tangu walipofanya hivyo Leicester City msimu wa 1908-09 (102).
Sheffield United imekuwa timu ya kwanza kuruhusu mabao 100 katika mechi 36 ndani ya Ligi Kuu England tangu walipofanya hivyo Leicester City msimu wa 1908-09 (102). Juzi Jumamosi walichapwa mabao 3-1 nyumbani na Nottingham Forest.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live