Mon, 6 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati Simba wakiombloza kipigo cha mabao 5 kutoka kwa watani zao Yanga Jana Jumapili mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Tayari watu wameanza kuonesheana vidole kupeana lawama sasa mchambuzi wa michezo kutoka Clouds FM, Shaffih Dauda anasema;
"Kuna muda inafika mwili unakuwa hautaki lakini akili inataka ,ukiangalia Simba wamepigiwa sana mpira na walikuwa wanaonekana kabisa wamechoka “
“Leo wanazungumzia 5G lakini hii 5G ni ya nne ,ila inazungumzwa sana kwa sababu imemuangukia Simba , Simba hawatakiwi kuumia sana kwa sababu wao sio wa kwanza hasa msimu huu “
Chanzo: www.tanzaniaweb.live