Thu, 9 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Moja kati ya mashabiki wa Yanga waliojitokeza Uwanja wa Azam Complex Chamazi kushuhudia mchezo kati ya Yanga na Kagera Sugar ameangua kilio huku akidai kuwa makosa yamefanyika na mchezaji wao Joseph Guede kunyimwa bao halali alilofunga.
Mchezo huo ulimalizika kwa Yanga kuibuka na ushindi wa bao 1-0, lililofungwa na Mudathir Yahaya.
Tazama Video nzima hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: