Wed, 11 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Sevilla inayoshiriki ligi kuu ya Hispania (La liga) imemfukuza aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo José Luis Mendilibar baada ya muenendo mbaya wa timu tangu msimu huu uanze,
Sevilla wapo kwenye nafasi ya 14 kwenye msimamo wa ligi kuu Hispania huku kwenye michuano ya UEFA champions league wakiwa katika nafasi ya 3 kwenye kundi lao,
Tayari klabu ipo kwenye mbio za kutafuta kocha mpya haraka iwezekanavyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live