Sun, 17 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
‘Klabu’ ya Sevilla imemfuta kazi ‘kocha Diego Alonso ‘klabuni’ hapo kufuatia kipigo cha 3-0 dhidi ya ‘klabu’ ya Getafe kwenye ‘Ligi’ kuu Uhispania.
‘Klabu’ ya Sevilla imemfuta kazi ‘kocha Diego Alonso ‘klabuni’ hapo kufuatia kipigo cha 3-0 dhidi ya ‘klabu’ ya Getafe kwenye ‘Ligi’ kuu Uhispania. Alonso mwenye umri wa miaka 48 raia wa Marekani ametupiwa virago baada ya kudumu katika ‘klabu’ hiyo kwa miezi miwili tu tangu alipochukua mikoba ya ‘kocha’ José Luis Mendilibar Oktoba 10, 2023.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live