Mon, 5 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Serikali ya Hong Kong imeomba radhi kwa mashabiki baada yaLionel Messi kutocheza pambano la kirafiki kati ya Inter Miami dhidi ya Hong Kong All Stars.
Aidha, Serikali ya Hong Kong imemtaka mratibu wa mechi hiyo ya kirafiki kuelezea kwa nini Messi hakucheza ilhali maelfu ya mashabiki wa soka walilipa ili kuona akicheza.
Inter Miami ilishinda mechi hiyo 4-1.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live