Timu ya Taifa ya Wasichana chini ya umri wa miaka wa 17, Serengeti Girls imetupwa nje ya michuano ya Kombe la Dunia U17 baada ya kuchapwa 3-0 na Colombia katika mchezo wa Robo Fainali jana Uwanja wa Pandit Jawaharlal Nehru huko Goa, India.
Timu ya Taifa ya Wasichana chini ya umri wa miaka wa 17, Serengeti Girls imetupwa nje ya michuano ya Kombe la Dunia U17 baada ya kuchapwa 3-0 na Colombia katika mchezo wa Robo Fainali jana Uwanja wa Pandit Jawaharlal Nehru huko Goa, India. Serengeti Girls imeshiriki kwa mara ya kwanza michuano ya Kombe la Dunia na wamefanikiwa kuishia hatua ya robo Fainali.