Tue, 18 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Taifa ya wanawake U17 Serengeti Girls imefuzu hatua ya robo fainali kwenye Fainali za Kombe la Dunia 2022, India.
Serengeti Girls imefikia hatua hiyo baada ya kupata sare na Canada mchezo uliopigwa leo na kuwafanya kufikisha alama 4 katika kundi D.
Mchezo wa Robo Fainali, Timu ya Serengeti Girls watakipiga na timu ya Taifa ya Colombia.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live