Tue, 27 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mtendaji mkuu wa Ligi kuu ya Botswana Senzo Mbatha amemaliza mkataba wake na Shirikisho la Soka nchini humo.
Senzo aliwahi kuzitumikia klabu za Simba na Yanga za Tanzania kama mtendaji mkuu.
Senzo amesema kuwa hataongeza mkataba mpya nchini Botswana, Je unadhani Senzo anahitajika katika Ligi yetu?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live